MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Alhamisi, 2 Aprili 2015

NIGERIA YAPATA RAIS MPYA KUTOKA CHAMA CHA UPINZANI

                                        GENERALI MUHAMMADU BUHARI
    mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini nigeria,INEC,attahiru jega amemtangaza rasmi kiongozi wa chama cha upinzani cha nigeria,Generali muhammadu buhari kuwa rais wa taifa hilo kubwa barani afrika baada ya kumbwaga rais wa zamani goodluck jonathan

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni