MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumatatu, 13 Aprili 2015

Mapigano nchini Ukrain yazua wasiwasi

                 Waasi Mashariki mwa Urain

Mawaziri wa mashauri ya kigeni wa Ujerumani , Ufaransa , Urusi na Ukrain wameelezea wasi wasi uliopo kufuatia kutokea kwa mapigano mashariki mwa ukrain na kikiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoafikiwa mwezi Februari.

Baada ya mazungumzo yaliyofanyika mjini Berlin waziri wa mashauri ya kigeni wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier aliwaambia waandishi wa habari kuwa kati ya silaha ambazo zitaondoa ni pamoja na vifaru.

Pande hizo mbili zilionekana kuheshimu makubaliano hayo hadi kulipotokea mapigano ya hivi majuzi kwenye uwanja wa ndege wa Donetsk na kijiji cha Shyrokyne nje ya mji wa Mariupol.
Pande hizo pia zimekubaliana kuendelea kubadilishana wafungwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni