MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumapili, 26 Aprili 2015

Raia wa Nepal walala nje kwa siku ya pili

                                                                 Tetemeko Nepa



Maelfu ya raia wa Nepal wamelazimika kulala nje kwa siku ya pili mfulululizo huku barabara zilizofungwa na athari za baada ya tetemeko zikipunguza kasi ya kuwaokoa manusura.
Karibia watu 2400 wamefariki katika jenga hilo.
Makundi ya misaada yamesema kuwa kuna uhaba wa na umeme na maji huku serikali ikisema kuwa mahema zaidi na vitanda vya mda vinahitajika kwa haraka.
Mwandishi wa BBC katika mji mkuu wa Kathmandu amesema mji uliojaa waathiriwa umeibuka ambapo watu hao wanalala katika mifuko ya plastiki kwa kuwa wanahofu ya kuishi ndani ya majumba yao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni