tushirikiane sote kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism)
MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII
Ijumaa, 10 Aprili 2015
SANAMU YA RODE'S YANG'OLEWA
Sanamu la Cicil John Rhodes aliyewahi kuitawala Cape Town, imeondolewa katika chuo kikuu cha Cape Town, Afrika kusini.
Hatua hiyo imekuja bada ya wanafunzi Wa chuo hicho kuandamana mwezi uliopita wakitaka pawepo mfumo mpya wa mabadiliko katika vyuo vikuu vya Afrika Kusini.
Sikiliza taarifa ya Omar Mutasa Kutoka Johannesburg.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni