Mtu anayekula miraa kenya
Maandamano ya kupiga chuki dhidi ya wageni Afrika Kusini
Watawa katika mkutano na kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis
Sanamu za makumbusho Gallipoli
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza katika mkutano uliohusisha wadau wa mashirika ya Kimataifa na asasi za kijamii ukiwa na lengo la ushirikishaji wa jamii katika masuala ya uhifadhi wa wanyamapori uliofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Mpingo House uliopo Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.
NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA BI JANETH MNDEME
Mamilioni ya Watoto wachanga wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Malaria
Mkuu wa zamani wa Shirika la kijasusi nchini Marekani, David Patraeus
Waandamanaji wakipinga vifo vya wahamiaji wanaovuka bahari ya shamu kwenda Ulaya
Mwana wa mfalme wa Saudi Arabia,Al-Waleed bin Talal Al-Saud ambaye ni miongoni mwa matajiri nchini humo
Wahamiaji wanaoelekea Italy
Rais Uhuru Kenyatta wa Ke
Wanajeshi wa DRC wakipiga doria
Philip Paul mfanyabiashara wa mishikaki ya chura katika jimbo la Adamawa nchini Nigeria
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.
basi la unique na lori baada ya kupata ajari
Mkurugenzi wa Nec, Julius Malaba.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika.
Rais Barack Obama wa Marekani
Wapiganaji wa Houthi nchini Yemen
Ndg Zitto akihutubia wananchi
Rida la O'hara katika filamu ya Gone with the wind lauzwa kwa kitita cha shilimi milioni 12
Bango la kumkaribisha rais Xi nchini Pakistan.
Boti ya Italia iliyokuwa katika Operesheni ya kuokoa wahamiaji ikiwa imebeba wahamiaji walikuwa wakisafiri kwenda Ulaya
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi
Eneo kulikotokea shambulizi
Utafiti umeonesha kuwa wanaume wenye umri kati ya 40-50 wamo katika hatari kubwa ya kujinyonga
Maandamano ya kumpinga rais wa Burundi Piere Nkurunziza yamefanyika mjini Bujumbura
Alexander Zakharchenko, kiongozi wa waasi.