Rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’.
New York, Marekani
MPIGA picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian, anaweza kujikuta katika vita ya maneno na rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’ baada ya kumpiga mkwara rapa huyo juu ya matumizi ya picha za Jay Z.Ross na Jay Z wamekuwa ni marafiki wa muda mrefu huku wakishirikiana kufanya kazi kadhaa pamoja.
Mpiga picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian.
Djerrahian alifika mbali baada ya kumlaumu Ricky Rozay ambaye aliitumia picha hiyo kwenye video ya wimbo mpya wa "Movin Bass" ambao amemshirikisha Jay Z.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni