MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumamosi, 23 Mei 2015

MKUU WA WILAYA YA BARIADI AMBAYE NI DC KAIMU MASWA MKANI SIMIYU AMALIZA ZIRA YAUGAWAJ CHANJO


Zoezi la ugawaji wa dawa za kuzuia minyoo na kichocho katika wilaya ya maswa mkoani simiyu limeelezwa kufanikiwa kwa kiwango kikubwa

Akizungumza na kituo sibuka katika kipindi cha pepeta afrika amesema katika uzinduzi wa kampeni hiyo kwa shule za msingi kaimu wa wilaya ya bariadi mh, Pansiano Damiano nyami pamoja na changamoto zilizopo sehemu kubwa zoezi hilo limefanikiwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni