Pichani ni baadhi ya waandishi wa habari wanaoshuhudia tukio hilo .
Maofisa
wa Shirika la Nyumba wanaokiendesha kituo hicho kipya cha huduma kwa
Wateja wakiwa kazini mara baada ya kuzinduliwa, timu ya kituo hicho
inaongozwa na mwanahabari Mzoefu Domina Rwemanyila.
Mkurugenzi
waShirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza
kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha huduma kwa wateja cha Shirika hilo
uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo hicho kilichopo Makao makuu ya
Shirika barabara ya Ufukoni na Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es salaam,
Kulia kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii,
Susan Omari.
Mkurugenzi
waShirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza
kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha huduma kwa wateja cha Shirika hilo
uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo hicho kilichopo Makao makuu ya
Shirika barabara ya Ufukoni na Ali Hassan Mwinyi, jijini Dar es salaam,
Kulia kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa
Jamii, Susan Omari.
Maofisa
wa Shirika la Nyumba wanaokiendesha kituo hicho kipya cha huduma kwa
Wateja wakiwa kazini mara baada ya kuzinduliwa, timu ya kituo hicho
inaongozwa na mwanahabari Mzoefu Domina Rwemanyila.
Maofisa
wa Shirika la Nyumba wanaokiendesha kituo hicho kipya cha huduma kwa
Wateja wakiwa kazini mara baada ya kuzinduliwa, timu ya kituo hicho
inaongozwa na mwanahabari Mzoefu Domina Rwemanyila.
Wakurugenzi wa Shirika hilo wakishuhudia tukio la kuzinduliwa kwa tukio hilo
Pichani ni baadhi ya waandishi wa habari wanaoshuhudia tukio hilo .
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni