MMILIKI WA BLOG HII
Jumamosi, 30 Mei 2015
Ijumaa, 29 Mei 2015
Jumamosi, 23 Mei 2015
Ijumaa, 22 Mei 2015
Jumanne, 19 Mei 2015
Jumatatu, 18 Mei 2015
TASWIRA ZA RED CARPET KATIKA UTOAJI TUZO ZA BILLBOARD 2015 NCHINI MAREKANI
Lauren Jauregui, Ally Brooke, Normani Hamilton, Dinah-Jane Hansen na Camila Cabello wa Fifth Harmony wakiwa kwenye pozi.
Jumapili, 17 Mei 2015
SAFARI YA TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) unasikitika kuwataarifu
abiria wa treni ya Deluxe ya kwenda Kigoma leo Mei 17, 2015 saa 2
usiku kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho Jumatatu Mei 18, 2015
saa 2 usiku.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.
Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni za Kinguruwila na Morogoro!
Ajali hizo zimehusisha kuanguka kwa mabehewa manne ( Ngeta ) na kuacha njia behewa moja (Kinguruwila )! Treni zote mbili zilikuwa zikielekea bara!
Tayari wahandisi na mafundi wa TRL wako katika maeneo ya tukio kwa ajili ya kazi ya kuyaondosha mabehewa yaliopata ajali na pia kukarabati njia ili ifunguliwe haraka na kurejesha mawasiliano ya njia ya reli katika hali ya kawaida.
Kutokana na uzito wa kazi hiyo ya ukarabati njia ndio sababu kuu iliyopelekea safari ya Deluxe iahirishwe hadi kesho usiku!
Wakati huo huo taarifa imeongeza kusema kuwa ajali hiyo imeathiri urejeshaji wa vichwa viwili vya treni ya Jiji ambavyo havotoweza kufika Dar kwa wakati na hivyo kesho huduma ya treni ya Jiji haitokuwepo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.
Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni za Kinguruwila na Morogoro!
Ajali hizo zimehusisha kuanguka kwa mabehewa manne ( Ngeta ) na kuacha njia behewa moja (Kinguruwila )! Treni zote mbili zilikuwa zikielekea bara!
Tayari wahandisi na mafundi wa TRL wako katika maeneo ya tukio kwa ajili ya kazi ya kuyaondosha mabehewa yaliopata ajali na pia kukarabati njia ili ifunguliwe haraka na kurejesha mawasiliano ya njia ya reli katika hali ya kawaida.
Kutokana na uzito wa kazi hiyo ya ukarabati njia ndio sababu kuu iliyopelekea safari ya Deluxe iahirishwe hadi kesho usiku!
Wakati huo huo taarifa imeongeza kusema kuwa ajali hiyo imeathiri urejeshaji wa vichwa viwili vya treni ya Jiji ambavyo havotoweza kufika Dar kwa wakati na hivyo kesho huduma ya treni ya Jiji haitokuwepo.
MBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE MGENI RASMI MKUTANO WA HADHARA DAR
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile akisalimia
wananchi wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jijini Dar es Salam.
Mwalimu mstaafu wa Sekondari na Mjumbe Mwelimishaji wa Chama
cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa Wazazi Tua Moyo Ali Ahmad kwa jina
maarufu mpemba wa Asili, akisoma shairi wakati wa Mkutano wa Hadhara
ambapo Mgeni Rasmi ni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Dk. Faustine
Ndugulile.
Dk. Faustine Ndugulile
akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya Kigamboni na
Katibu Kata wa chama hicho kabla ya kuanza mkutano.
Wananchi na wanachama wa
Chama cha Mapindizi (CCM) wakishangilia wakati mbunge wao alipokuwa
akipanda jukwaani katika Uwanja wa Tuwa Moyo Kigamboni.
Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi Kata ya kigamboni na Katibu Kata wa chama hicho akiongea na
wananchi wakati wa mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Kigambo ni Faustine
Ndugulile.
wananchi wakifurahia jambo wakati wa mbunge wao Dk. Faustine Ndugulile alipokuwa akizungumza na wananchi hao.
Dk. Faustine Ndugulile
akizungumza na wanachi wakati wa mkutano huo na akiwaomba wananchi
kujitokeza kwa wingi katika Daftari la Wapigakura wakati ukifika.
Mzee Muhamedi Selemani mwenye
miaka 95,ambaye ni mlemavu wa macho akitoa malalamiko yake kwa mbunge,
wakati wa mkutano huo, anapokonywa mashamba yake na mwekezaji na
akiomba asaidiwe.
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni
Dk. Faustine Ndugulile akizungunza na Mamia waliojitokeza katika
mkutano wa hadhara ulio fanyika Kigamboni Dar es Salaam jana.
Wanachi wakiwa katika mkutano
huo wakifatilia maongezi ya Mbunge wao Dk. Faustine Ndugulile, wakati
wa mkutano wa hadhara ulio fanyika Dar es Sallam jana.
Dk. Faustine Ndugulile
akitimiza ahadi yake kwa vikundi kumi na mbili vya ujasiliamali ambavyo
kila kimmoja kimepata pesa taslim.
Dk. Faustine Ndugulile
akizawadiwa sare ya kitenge na muweka hazina wa kikundi cha Jitegemee
Vikoba Group Happiness mfinanga wakati walipokuwa wakipewa mchango wao
wapesa Taslimu kutoka kwa Mbunge huyo wakati wa mkutano huo (kulia) ni
Mwenyekiti Tungi Kata ya Kigamboni Joram Msuya.
Dk. Faustine Ndugulile
akisalimiana na Mkuu wa Kituo cha Kigamboni Jumanne Njoka baada ya
mkutano kumalizika, amaba mkuu huyo wakituo alifika na wasaidizi wake
kutowa ushirikiano wa usalama wakati wa mkutano wa Mbunge Ndugulile
alipokuwa akizungumza na wananchi dar es Salaam jana.
Dk. Faustine Ndugulile
akipongezwa na wanakikundi cha Jitegemee Vikoba Group wakati walipokuwa
wakipewa mchango wao wapesa Taslimu kutoka kwa Mbunge huyo wakati wa
mkutano huo.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)