tushirikiane sote kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism)
MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII
Jumanne, 31 Machi 2015
Filamu inayoangazia masaibu ya albino
fuata hii filamu ujifunze kutokomeza mauaji ya albino
Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na
ongezeko kubwa la mauaji ya albino, hasa katika mataifa ya Malawi,
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania na vile vile Burundi.
Watu hao hulengwa kutokana na itikadi za kichawi kwa madai kuwa viungo vyao huleta utajiri, bahati na kuponyesha maradhi yoyote.
Filamu moja inayoangazia mauaji ya albino Tanzania imezinduliwa London wiki hii, Zuhura Yunus wa BBC alihudhuria uzinduzi huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni