MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumanne, 31 Machi 2015

Filamu inayoangazia masaibu ya albino

                                  fuata hii filamu ujifunze kutokomeza mauaji ya albino


Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la mauaji ya albino, hasa katika mataifa ya Malawi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania na vile vile Burundi.

Watu hao hulengwa kutokana na itikadi za kichawi kwa madai kuwa viungo vyao huleta utajiri, bahati na kuponyesha maradhi yoyote.

Filamu moja inayoangazia mauaji ya albino Tanzania imezinduliwa London wiki hii,
Zuhura Yunus wa BBC alihudhuria uzinduzi huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni