MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumanne, 31 Machi 2015

Familia ya Watoto 9 na ulemavu wa macho




Je umewahi kuwaona watu wa familia moja wakiwa na ulemavu wa aina moja karibu wote?

Huko Bungoma Magharibi mwa Kenya kuna familia moja ambayo ina wavulana tisa, wanane kati yao ni walemavu wa macho, na mmoja ana jicho moja yaani chongo ambalo halioni kabisa.

Hata hivyo mama yao si mlemavu wa macho pia wapo dada zao wanne ambao nao hawana ulemavu.
Mwandishi wa Nairobi Paul Nabiswa alitembelea familia hiyo na kisha kutuandalia taaifa hii ifuatayo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni