tushirikiane sote kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism)
MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII
Jumanne, 31 Machi 2015
Familia ya Watoto 9 na ulemavu wa macho
Je umewahi kuwaona watu wa familia moja wakiwa na ulemavu wa aina moja karibu wote?
Huko Bungoma Magharibi
mwa Kenya kuna familia moja ambayo ina wavulana tisa, wanane kati yao ni
walemavu wa macho, na mmoja ana jicho moja yaani chongo ambalo halioni
kabisa.
Hata hivyo mama yao si mlemavu wa macho pia wapo dada zao wanne ambao nao hawana ulemavu. Mwandishi wa Nairobi Paul Nabiswa alitembelea familia hiyo na kisha kutuandalia taaifa hii ifuatayo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni