MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumatano, 25 Machi 2015

ANAHITAJI MSAADA WAKO WA KIFEDHA KUMSAIDIA MTOTO WAKE MWENYE TATIZO LA MOYO KUPATIWA MATIBABU NCHINI INDIA MWEZI APRIL MWAKA HUU ANATOKEA WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU


Mtoto anastanzia kutoka wilayani maswa mkoani simiyu ana umri wa miaka miwili na anasumbuliwa na tatizo hili kwa takribani mwaka mmoja sasa na kwa mujibu wa madactari kutoka bugando wanasema mtoto huyu ana matundu matano kwenye moyo wake hivyo anahitajika kwenda india kwa matibabu mwezi April mwaka huu Hivyo msaada wako wewe kama mwananchi unahitajika msaada wako wa kifedha na pesa inayohitajika ni shl. 1,500,000 (milion moja na nusu) na kwa sasa tayari amekusanya shl 7,00000 (laki saba tu). hivyo bado shl, 8,00000 (laki nane )
Kwa mawasiliano au kwa njia ya m pesa au Airtel money

M.PESA.. 0769397462
AIRTEL MONEY 0682151410

Msaada wako unahitajika kuokoa maisha ya mtoto anastanzia


KUTOA NI MOYO SIO UTAJIRI



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni