tushirikiane sote kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism)
MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII
Jumamosi, 4 Julai 2015
WANACHAMA WAWILI WA CUF WAPIGWA RISASI ZANZIBAR
Muonekano wa wanachama hao wa CUF waliopigwa risasi.
Wanachama wawili wa CUF wamepigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao mchana wa leo wakati wa kuandikisha kupiga kura Makunduchi, Zanzibar, wamelazwa Hospitali ya Arahma.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni