MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumamosi, 4 Julai 2015

WANACHAMA WAWILI WA CUF WAPIGWA RISASI ZANZIBAR

Muonekano wa wanachama hao wa CUF waliopigwa risasi.
Wanachama wawili wa CUF wamepigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao mchana wa leo wakati wa kuandikisha kupiga kura Makunduchi, Zanzibar, wamelazwa Hospitali ya Arahma.
NA MWANDHISHI WETU

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni