KIKAO cha Halmashauri Kuu YA Taifa (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 3 ambao ni: 1) John Magufuli 2) Asha-rose Migiro 3) Amina Salum Ali. Hatua inayofuata ni majina ya wagombea hawa kuwasilishwa Mkutano Mkuu wa Taifa ili kupata jina moja (1) la mgombea Urais 2015.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni