MMILIKI WA BLOG HII

MMILIKI WA BLOG HII
TANGAZA NASI MATANGAZO YA KIJAMII BURE KUPITIA BLOG HII

Jumamosi, 2 Aprili 2016

DIWANI VITI MAALUMU AANDAA HARAMBEE KUCHANGIA UJENZI WA CHUMBA CHA UPASUAJI.

Diwani wa viti Maalum kata ya Malampaka Pili Ndimila (mwenye gauni la mabaka ya njano na mke wa Mbunge mwenye koti jekundu Mama Mashimba) wakiungana na wanawake wenzao kubeba mawe kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa chumba cha upasuaji kituo cha afya Malampaka